iqna

IQNA

al kadhimi
Ibada ya Hija na Umrah
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Iraq Musafa al Kadhimi ametekeleza Hija ndogo ya Umrah akiwa katika ziara rasmi nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3475429    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/26

Katika Mkutano wa Rais wa Iran na Waziri Mkuu wa Iraq
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na waandishi wa habari akiwa pamoja na Waziri Mkuu wa Iraq kwamba, idadi ya wafanya ziara wa Iran katika Arubaini ya Imam Husain AS itaongezwa mwaka huu.
Habari ID: 3474287    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12